Kiwanja kinauzwa mkabala na Eneo la viwanda- Visiga Madafu Ukubwa Square meter 400 (25*16)
Umbali kutoka barabara kuu km 2.8
Panafikika kwa usafiri wa aina zote
Umeme wa TANESCO na Maji ya DAWASA, pamoja na huduma nyingine za kijamii zinapatikana.
Kiwanja kipo sehemu Tambarale na nzuri
ZINGATIA: Kiwanja KIMEPIMWA na kina HATI MILIKI YA WIZARA
Bei ni milioni 4.5 | Maelewako yapo kidogo