Eneo La Biashara/Makaz Mil 80 Tu Kwenda Kkoo/Airport Dk 5 Tu
1/5
Dar es Salaam, Ilala, Vingunguti, 17/04
10 maoni
Eneo La Biashara/Makaz Mil 80 Tu Kwenda Kkoo/Airport Dk 5 Tu
+1
Ardhi ya matumizi mchanganyiko
Aina
600sqm
Mita za mraba
Mchanganyiko
Matumizi ya Sifa
Bomba la maji taka, Maegesho ya Gari, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Gesi, Usambazaji wa Maji, Usambazaji wa Stima
Vituo vya
Nauza eneo langu mwenyewe hakuna dalali. LIPO BAINA YA VINGUNGUTI NA BUGURUNI KWENDA KARIAKOO AU POSTA DK 5 TU GARI
unaweza fanya biashara ya guest houses, nyumba za kupanga, car parking... eneo lipo barabarani kabisa. na karibu na reli mwendokasi,daraja la juu.
lina title deeds.
wahi maana kwa bei hii na mahali lilipo bei sawa na kuokota.
nb: halina dalali mm ndo muhusika
linabukubwa square meters 600