tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Ardhi na Viwanja Inauzwa
  4. Ardhi ya Matumizi Mchanganyiko Inauzwa
Mkuranga, Pwani, Vikindu, siku 1 iliyopita
7 maoni

Shamba Lenye Nyumba Tatu Linauzwa Mwanambaya

+1
Ardhi ya matumizi mchanganyiko
Aina
20000sqm
Mita za mraba
Mchanganyiko
Matumizi ya Sifa
Usambazaji wa Maji
Vituo vya
50000
Ada ya Agenti
Shamba linauzwa mwanambaya vikindu wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani. Shamba lina hekari nne,kuna nyumba tatu ndani yake.Nyumba ya kwanza ina vyumba vi tano sitting room, dining room na jiko.Hii nyumba imeisha kabisa.Nyumba nyengine mbili zipo hatua ya linta.Pia kuna kisima cha maji baridii. Shamba lipo umbali wa kilometa 5 tu kutoka barabara kuu ya lami Karibu sana kuchukua shamba hili pamoja na nyumba zake tatu. Bei yake zote shamba na nyumba tatu shilingi milioni 250 Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu
Shamba Lenye Nyumba Tatu Linauzwa MwanambayaShamba Lenye Nyumba Tatu Linauzwa MwanambayaShamba Lenye Nyumba Tatu Linauzwa MwanambayaShamba Lenye Nyumba Tatu Linauzwa MwanambayaShamba Lenye Nyumba Tatu Linauzwa MwanambayaShamba Lenye Nyumba Tatu Linauzwa MwanambayaShamba Lenye Nyumba Tatu Linauzwa Mwanambaya
TSh 250,000,000per Plot
1 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif