Shamba linauzwa mwanambaya vikindu wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani.
Shamba lina hekari nne,kuna nyumba tatu ndani yake.Nyumba ya kwanza ina vyumba vi tano sitting room, dining room na jiko.Hii nyumba imeisha kabisa.Nyumba nyengine mbili zipo hatua ya linta.Pia kuna kisima cha maji baridii.
Shamba lipo umbali wa kilometa 5 tu kutoka barabara kuu ya lami
Karibu sana kuchukua shamba hili pamoja na nyumba zake tatu.
Bei yake zote shamba na nyumba tatu shilingi milioni 250
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu