Jumba la kisasa la kifahari linauzwa vikindu mkoa wa pwani
Nyumba ina vyumba vi nne, sitting room, dining room, store na jiko.
Pia kuna vyumba vyengine nje ya nyumba kubwa(mabanda)
Kuna chumba master x2 (nje)
Nyumba ina sehemu ya kufugia samaki,kuku na kadhalika.
Bei yake shilingi milioni 120
Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu