Nyumba inauzwa kigamboni kisiwani ikiwa inavyumba vitatu vya kulala
bei ni milion 65 maongezi yapo
ipo mtaa mzuri sanaa kumejengeka sana
kiwanja hakijapimwa
mauziano ni serikali ya mtaa
tayari nyumba imezungukwa na fensi
barabara hadi kwenye nyumba ni mita 5
kilometer moja kutoka main road ya lami
nipigie