Eneo zuri sana kwa biashara linauzwa ukonga mombasa njia panda ya moshi bar. ni kiwanja cha pili toka barabara ya gongo la mboto, na ni kiwanja kwa kwanza kwenye barabara ya moshi bar
ukubwa: sqm 210
bei: tsh milioni 400
umiliki:leseni ya makazi
mawasiliano
piga, whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
gharama ya kupelekwa site ni sh elf 50. hii haihusishi usafiri
kujiunga na group letu la whatsapp gusa link: