Eneo La Kibiashara Na Makazi Linauzwa Ml 13.5 Majohe Rada.
1/19
+ 14
picha
Imefaulu
Dar es Salaam, Ilala, Ukonga, siku 1 iliyopita
16 maoni
Eneo La Kibiashara Na Makazi Linauzwa Ml 13.5 Majohe Rada.
+1
Ardhi ya Biashara
Aina
600sqm
Mita za mraba
Kibiashara
Matumizi ya Sifa
Usambazaji wa Stima, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Gesi, Maegesho ya Gari
Vituo vya
Yes
Chaji ya Huduma
30000
Ada ya Utafiti
Eneo sqmita 600 la kibiashara na makazi linauzwa milioni 13.5, lipo Ukonga Majohe Chuo Rada jirani na stendi, lipo mtaa mzuri Sana kwa biashara na makazi, huduma zote za kijamii zipo karibu na eneo hili/ Mama Anna.