Eneo La Kibiashara Linauzwa Milioni 18 Lipo Ukonga Majohe
1/10
+ 5
picha
Imefaulu
Dar es Salaam, Ilala, Ukonga, siku 1 iliyopita
16 maoni
Eneo La Kibiashara Linauzwa Milioni 18 Lipo Ukonga Majohe
+1
Ardhi ya Biashara
Aina
400sqm
Mita za mraba
Kibiashara
Matumizi ya Sifa
Maegesho ya Gari, Usambazaji wa Gesi, Usambazaji wa Stima, Bomba la maji taka
Vituo vya
Eneo hili linatazama barabara kuu iendayo Viwege kutoka Gongolamboto Pugu Majohe, lipo eneo la kibiashara zaidi, panafaa kuwekeza biashara ya mashine, godawn, baa, gest, nyumba za wapangaji, au nyumba nzuri ya ramani ya kuishi