Bomba la maji taka, Usambazaji wa Maji, Usambazaji wa Stima, Usambazaji wa Gesi, Maegesho ya Gari
Vituo vya
Eneo hili lipo barabara kuu iendayo Morogoro, Kibaha kwa mwarabu, lina ukubwa wa heka nane zote zimepimwa na zina hati. Eneo hilo linatazama barabara kuu ya lami.