Mita ya Kulipwa Kabla, Umeme wa masaa 24, Eneo la Kula, Kifaa cha kuosha sahani, Makabati ya Jikoni, Rafu ya jikoni
Vituo vya
Yes
Nafasi ya Maegesho
3500sqm
Ukubwa wa sifa
Nyumba Inauzwa ipo Dar es salaam Ukonga (Moshi bar) Karibu na Petrol Station ya Afro oil, inaukubwa wa (3500sqm2) Huduma za kijamii zipo karibu, barabar ipo, nyumba ina Hati Miliki, Bei ni 98,000,000/= Nipigie065XXXXXXX