Ninauza nyumba za kupangisha zipo mbili dar es salaam/temeke/Toangoma, ya kwanza inavyumba 6 siting room na dining room maji na umeme,
tayari inawapangaji ndani.
Na ya pili haijakamilika ujenzi wa tofali imekamilika bado paa Ina vyumba 8 choo hivyo jumla ya vyumba 14 vya kulala, hati miliki ipo huitaji usafiri baada ya kushuka stand ni MITA 200 TU umefika ni kwako maeneo haya yanafa Kwa biashara ya kupangisha Kwa bei nzuri.