Ninauza hand dryer ya saloon na nyumbani. 2 speed , 3 heat, cold shot. Imetumika lakini ipo vizuri ilikuwa inatumika nyumbani na ni mara chache sana. Inafanya kazi vizuri moto na baridi pia. Pickup Dar es salaam. Bei kuanzia 30000 maelewano yanaruhusiwa. Karibuni!!