Tata/changamano ya vitamini nyingi, Selenium, Zinki
Viungo Amilifu
Capsule
Uundaji
Wanaume
Jinsia
Watu wazima
Kikundi cha Umri
Haina ladha
Ladha
Yote ya Asili, Kikaboni
Vipengele
Baada ya Mlo
Wakati wa kuchukua
Chupa
Furushi
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar Es Salaam
Open
• Jumatatu - Jumamosi, 08:00-21:00
Dar es Salaam • Temeke
Tarara, Dar es salaam
Whatsapp me
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 09:30-10:30
Forever vitolize for men imetengenezwa na wingi wa msago wa mbegu kama maboga, mafuta ya olive na mimea ya jangwani, inakupa madini mengi sana yanayofanya kazi direct kusaidia mfumo wa tezi dume na hormone za kiume, unapofika umri wa miaka 45 na kuendelea, hatari ya kuvimba kwa tezi dume huongezeka kwasabab mwili hupokea mabadiliko makubwa sana ya hormone ya kiume ya testosterone huku hormone zingine zikifanya kazi kama kawaida ,Hali hii hufanya mwili kujikinga kwa kuzalisha cell nyingi bila mpangilio na vimbe ndogondogo ndani ya tissue za tezi dume, hivo unapotumia vitolize hukusaidia kubalance hormone yako muda wote na pia kuzuia vimbe na uzalishwaji wa cell uliotukuka, hivi ni virutubisho sio dawa tumia walau kwa miezi mitatu