Mimi ni msichana mwenye bidii mwaminifu na mwenye nidham kazini Nina uwezo mazuri wa kuwasiliana na wateja ,kufanya kazi kwa ushirikiano na kujifunza
Nimesomea pharmacy (Bado naendelea kusoma) nipo tayar kufanya kazi yeyote halali ili nipate kipato Cha ada na maisha kwa ujumla