Nyumba ya ghorofa inauzwa kwa niaba ya bank
location: mtoni kijichi (temeke municipality)
bei 330 million (makadilio)
umiliki: hati miliki (title deed)
ukubwa wa eneo: sqm 1500
nyumba chini ina vyumba viwil kimoja master,dinning, sitting, kitchen&public toilet
pia juu kuna vyumba sita kati ya ivyo vitano ni master,store & study room
barabara iko vizuri mpaka kwenye nyumba
nyumba iko mtaa wa kishua sana
gharama za kwenda site kuoneshwa nyumba ni tshs 30,000/=