Nyumba ya kifahari inauzwa – chamazi, temeke!
bei ya ofa: tzs milioni 250 tu!
hii si nyumba tu, ni ndoto inayoishi! tajiri, usilale—lipia leo!
kwenye kiwanja kimoja – unapata nyumba mbili za kisasa!
1 nyumba kubwa ya chini:
vyumba 4 vya kulala – vyote ni master (kila chumba kina choo chake!)
sebule kubwa ya kifamilia – nafasi ya starehe
dining room – sehemu rasmi ya familia kula
jiko la kisasa kabisa – kwa mapishi ya hadhi
choo cha nje kwa matumizi ya wageni
tiles safi za kisasa & madirisha ya aluminium – finishing ya hadhi ya juu!
2 nyumba ya pili ni ghorofa (servant quarter):
ghorofa ya chini: chumba + sebule
ghorofa ya juu: master bedroom kubwa + sebule ya kifalme
perfect kwa wageni wa heshima, wafanyakazi au hata airbnb! umeme tayari | maji yapo – hamia kesho bila usumbufu!
⸻