NYUMBA INAUZWA BEI YA KUTUPWAA
IPO MBAGALA CHAMAZI
Anaitupa: kwa million 150 na Kuna maongezi
Nipigie au whtsAp +
TAJIRI
Mwenyewe ni ana shida anaitaji pesa ya chap chap
Nyumba Haina mgogoro wowote
Ina rooms (4) za kulala kati ya hizo (2) ni master
Ina sitting room dining kitchen public toilet
Nyumba ina kota umeme na maji yapo nk
Eneo ni SQM 600 (sale agreement)
SERVICE CHARGE TSH 20,000|=