Nyumba nzuri sana ipo mbagala saku ilulu ina vyumba vnne vya kulala vyumba viwili ni masters bedroom ina sitting room na daining room na jiko na store ina public toilet pamoja na maji na umeme eneo square meter 800
Ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa upimaji shilikishi Usha fanyika Bado hatty miliki tu
Nyumba ipo jilani kabisa na bara bara kuu ya Rami kama dakika 5 tu kwa mwendo wa minguu
Eneo zuri sana nyumba ime Kamilika yote Ina Kila kitu
Ina uzwa tsh mil 98 TU
Ukiwa serious uwezi kuiyacha kabisa nyumba safi sana
Ukitaji kuiyona nipigie cm au nichek Whatsapp