Nyumba nzuri sana ina uzwa tsh million 25 tu nyumba ipo mbagala saku ilulu jiji la dar es salaam wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa mkondogwa
Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja master bedroom ina sitting room ina daining room na jiko pamoja public toilet ina maji na umeme upo Jillian kuingia