Nyumba inauzwa
ipo mbezi luguluni kwembe kijijini
bei tsh milioni 45
ukubwa wa eneo sqm 400
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa
vyumba 3 vya kulala
kimoja master
sitting room
kitchen
public toilet
umeme upo
gharama ya kupelekwa kuoneshwa nyumba tsh 30,000/=