Tajiri njoo uchukue hii nyumba, haina kipengele labda uje nacho mwenyewe. ni nyumba nzuri ya kisasa kwa bei ya milioni 65 tu.
location: mbagala kwa mbiku, dar es salaam
sifa za nyumba:
nyumba kubwa ina vyumba 3 vya kulala (2master bedroom)
sebule kubwa sana
dining room (sehemu ya kulia chakula)
jiko na store yake
choo cha public
nyumba ndogo (servant quater) ina sebule kubwa na master yake.
umeme upo
kuna kisima cha maji & tank
tiles, paving block, allunium window
nyumba ina wapangaji, unaweza kuendelea nao au ukaamia mwenyewe tajiri.