Nawa kumbusha wadau wangu
hii nyumba bado ipo aijauzwa na bei yake bado ile ile aijashuka ni tsh mil 36 tu
ipo mbagala saku ilulu jilani kabisa na shule ya msingi ya ilulu
ina vyumba vitatu vya kulala vyumba viwili ni master bedroom ina sitting room na daining room ina maji na umeme eneo zuri sana
ina jiko na store ina public toilet ina maji na umeme eneo zuri sana square meter 600
ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa upimaji shilikishi usha fanyika
kutoka bara kuu ya rami kuja kwenye hii nyumba ni dakika 10 tu kwa mwendo wa miguu
ukitaji kuiyona nipigie cm au nichek whatsapp