Seti ya kisasa kabisa ya sofa (Sofa Suite) iliyotengenezwa kwa ngozi (leather) ya hali ya juu yenye muonekano wa kuvutia na uwezo wa kulegea (recliner) kwa ajili ya starehe zaidi. Inafaa sana kwa sebule ya kisasa, ofisini, au kuongeza thamani kwenye muonekano wa duka lako.
Hali: Mpya kabisa (Brand New) kutoka kiwandani.
Model: 808.
Rangi: Dark Brown.
Bei: 1700,000/=
Usafiri: Tunafanya utoaji (Delivery) popote Dar es Salaam na mikoani.
Ofisi/Warsha yetu: Keko / Chang'ombe (Mbozi Road), Dar es Salaam.
Wasiliana nasi sasa: au weka oda yako DM!.