Je? bado kuku wako wanateseka na magonjwa au kula mayai.
ongeza uzalishaji wa mayai pia hata nyama kwa kufugia kwenye vizimba (cages) za kisasa.
hii ni kubwa kuliko sasa tumeleta cage zenye material imara na zisizo shika kutu.
faida za cage ni kupunguza magonjwa kwa asilimia 90,
kupunguza upotevu wa chakula hadi asilimia 98% kuku hawatakula mayai na kuvuna mayai safi na salama pia kwa asilimia kubwa,
nirahisi kusimamia mradi wako na kufuatilia kila kuku wa ukaribu
tutakufungia cage hata za kuku zaidi ya laki moja.
ikumbukwe ukinunua cage zaidi ya 5 tunakufungia bure na ukinunua cage zaidi ya 10 usafirï na kufunga ni juu yetu.
tupo dar es salaam