tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Temeke, siku 1 iliyopita
5 maoni

Taa Za Joto

+1
1
TAA ZA JOTO
Aina
Chapa Mpya
Hali
Nyekundu
Rangi
Yes
Udhamini
12month
Kipindi cha Udhamini
Uwasilishaji
Nchini kote
1-2 mchana
Bila malipo
Tunauza taa maalumu kwa ajili ya kulelea vifaranga. #pigasimu071XXXXXXX ■bei 15,000/=tsh ■taa hizi hutoa mwanga mwekundu ambao hupelekea kifaranga kula vizuri chakula pia humpunguzia stress. ■taa moja hutosha kwa vifaranga 100. ■hutoa joto la kutosha. ■hudumu kwa muda mrefu bila kuungua. ■hutumia umeme kidogo ■huitaji tena kutumia mkaa hivyo hupunguza gharama ■huepusha uwezekano wa vifaranga kupata magonjwa ya mfumo wa hewa yanayo sababishwa na gesi za carbon monoxide. tupo dar es salam pigasimu071XXXXXXX
Taa Za Joto
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif