maandalizi ya kilimo ni mapema mkulima!
leo tumekuletea seed planter za kisasa – single na double!
zinapunch chini moja kwa moja na kutoa mbegu
zinapanda mahindi, karanga, maharage na mazao mengine
ni ngumu, imara na rahisi kutumia
hupunguza matumizi ya nguvu shambani
tumia seed planter – rahisisha kilimo chako, ongeza tija!
bei zetu ni rahisi sana:
seed planter ya mbegu peke yake: tsh 150,000/= tu
seed planter ya mbegu + mbolea: tsh 200,000/= tu
tupo dar es salaam
mikoani tunasafirisha – utalipia baada ya kupokea
wasiliana nasi:
#kilimo_bora_tanzania
#fuga_kisasanabidhaabora
#tanzanianaufugajiwakisasa
#fuga kwa malengo