tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
  4. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Temeke, 18/05
45 maoni

Multifunction Mashine Ya Kupigia Mazao

+1
Shellers & Threshers
Aina
Chapa Mpya
Hali
Kijani Kibichi
Rangi
250kg
Uzito
Stima, Petroli, Diesel
Chanzo cha Nguvu
12V
Volteji
50000kW
Nguvu
1500kg/h
Uwezo wa Uzalishaji
Yes
Udhamini
12month
Kipindi cha Udhamini
TANGAZO TANGAZO!! Unahitaji mashine ya kupigia mazao kwa haraka na kwa ufanisi wa hali ya juu? Tunayo mashine bora ya kisasa kwa ajili ya kupigia mazao mbalimbali kama: Mahindi Maharage Mtama Ulezi Kunde Ngano Mpunga Choroko Njugu Ufuta Mashine hii ina uwezo mkubwa – inapiga hadi: Gunia 30 za mahindi Gunia 15 za maharage Na gunia 10 za mtama... NDANI YA LISAHA MOJA TU! Inatumia engine ya petrol, na kwa wanaotumia umeme wa majumbani, pia tunazo zinazotumia motor ya umeme! Ni portable – rahisi kubebwa kwa boda boda! Imetengenezwa kwa vyuma imara, hudumu kwa muda mrefu – na unaponunua kwetu, unapata warranty ya mwaka mmoja! Bei ni Tsh 2,900,000 tu! Wahi sasa! Piga simu Tupo DAR ES SALAAM Usikose! Mashine bora kwa bei nafuu – fanya kazi nyingi kwa muda mfupi!
TSh 2,900,000
Inaweza kujadiliwa
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif