Mayai 120 – Mashine Bora ya Kutotolesha kwa Faida Kubwa!
Je, unatafuta mashine bora, imara na rahisi kutumia kwa kutotolesha mayai?
Mashine ya Mayai 120 – Fully Digital & Automatic ndiyo suluhisho!
Sifa Muhimu:
Hugeuza mayai yenyewe (Automatic Turning)
Hudhibiti joto na unyevunyevu kiotomatiki
Huhifadhi joto hata umeme ukikatika
Ufanisi wa kutotolesha hadi 98%
Rahisi kutumia – haitaji utaalamu
Chanzo cha Umeme:
Umeme wa kawaida • Solar • Battery
Hutotolesha mayai ya:
Kuku, Bata, Kanga, Kware, Njiwa (na mengineyo)
Ina kifaa cha kupimia mayai yenye mbegu
Zawadi: Vyombo vya maji na chakula kwa vifaranga
Bei: TSh 450,000 tu
Usafirishaji mikoani unafanyika
Tunapatikana: Dar es Salaam
Piga sasa:
Anza ufugaji wa kisasa leo — faida iko mbele yako!