Fungua Uzalishaji Wenye Faida! Incubator 45 Eggs Kwa Bei Poa!
Unataka kuongeza uzalishaji katika ufugaji wa kuku, kanga au kware?
Tunakuletea mashine bora ya kutotolesha vifaranga—imara, ya kisasa, na inayofaa kwa mfugaji wa aina yoyote, awe mdogo au mkubwa.
Kwa Nini Uchague Incubator Hii?
Inabeba mayai 140 — Inafaa kwa wanaoanza na wale wanaopanua uzalishaji
Inatumia solar na umeme — Hakuna kuhangaika hata kama umeme unakatika
Inajiendesha yenyewe (Fully Automatic)
Inatumia umeme mdogo (80W/12V) — Inaokoa gharama kwa muda mrefu
Inatunza joto masaa 12 bila umeme
Ina candling light — Kupima mayai yenye mbegu kwa urahisi
Uangulaji hadi 98% — Matokeo ya uhakika na yenye faida
Inaangua mayai ya kuku, kanga na kware
Rahisi kutumia — Hata kwa mfugaji anayeanza
Piga simu sasa:
Tupo Dar es Salaam