Maize Sheller, mashine za kupukuchua mahindi za kisasa bei kuanzia 1,200,000
Mashine ya kupukuchua mahindi na mazao mengine kwa haraka na ufanisi mkubwa! Inapatikana sasa.
Faida zake:
Inatumia umeme au mafuta – chagua unachopendelea.
Inapiga: Mahindi, kunde, mtama, karanga, choroko, uwele, maharage n.k
Nguvu sana – tani 1 - 4 kwa saa
BEI:
- Tani 1.5 bei 1,200,000
- Tani 2 bei 1,400,000
- Tani 4 bei 2,000,000
Tunapatikana Dar es Salaam
Tupigie071XXXXXXX