tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
  4. Mashine za Kukoboa
Dar es Salaam, Temeke, siku 1 iliyopita
98 maoni

Mashine Za Kupukuchua Mahindi

+1
1
Maize sheller
Aina
Chapa Mpya
Hali
Nyekundu
Rangi
Yes
Udhamini
Maize Sheller, mashine za kupukuchua mahindi za kisasa bei kuanzia 1,200,000 Mashine ya kupukuchua mahindi na mazao mengine kwa haraka na ufanisi mkubwa! Inapatikana sasa. Faida zake: Inatumia umeme au mafuta – chagua unachopendelea. Inapiga: Mahindi, kunde, mtama, karanga, choroko, uwele, maharage n.k Nguvu sana – tani 1 - 4 kwa saa BEI: - Tani 1.5 bei 1,200,000 - Tani 2 bei 1,400,000 - Tani 4 bei 2,000,000 Tunapatikana Dar es Salaam Tupigie071XXXXXXX
Mashine Za Kupukuchua Mahindi
TSh 1,200,000
Inaweza kujadiliwa
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif