tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Temeke, siku 1 iliyopita
23 maoni

Mashine Za Kupigia Mazao (Multifunction)

+1
Shellers & Threshers
Aina
Chapa Mpya
Hali
Nyekundu
Rangi
200kg
Uzito
Petroli, Diesel
Chanzo cha Nguvu
50V
Volteji
3000kW
Nguvu
1000kg/h
Uwezo wa Uzalishaji
Yes
Udhamini
12month
Kipindi cha Udhamini
tunauza mashine za kupigia mazao (multifunction) unahitaji mashine ya haraka, bora na ya kisasa kwa ajili ya kupigia mazao yako? tunakuletea mashine bora ya kisasa inayopiga mazao mbalimbali: mahindi maharage mtama ulezi kunde ngano mpunga choroko njugu ufuta uwezo wa mashine: gunia 30 za mahindi kwa saa 1 gunia 15 za maharage kwa saa 1 gunia 10 za mtama kwa saa 1 inapatikana kwa aina mbili: engine ya petrol motor ya umeme wa majumbani rahisi kubebwa – hata kwa boda boda vyuma imara – inadumu muda mrefu warranty ya mwaka 1 bei: tsh 2,450,000 tu! piga sasa: tunapatikana dar es salaam usikose – fanya kazi nyingi kwa muda mfupi kwa kutumia mashine bora zaidi!
Mashine Za Kupigia Mazao (Multifunction)Mashine Za Kupigia Mazao (Multifunction)
TSh 2,450,000
Inaweza kujadiliwa
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif