tunauza mashine za kupigia mazao (multifunction)
unahitaji mashine ya haraka, bora na ya kisasa kwa ajili ya kupigia mazao yako?
tunakuletea mashine bora ya kisasa inayopiga mazao mbalimbali:
mahindi
maharage
mtama
ulezi
kunde
ngano
mpunga
choroko
njugu
ufuta
uwezo wa mashine:
gunia 30 za mahindi kwa saa 1
gunia 15 za maharage kwa saa 1
gunia 10 za mtama kwa saa 1
inapatikana kwa aina mbili:
engine ya petrol
motor ya umeme wa majumbani
rahisi kubebwa – hata kwa boda boda
vyuma imara – inadumu muda mrefu
warranty ya mwaka 1
bei: tsh 2,450,000 tu!
piga sasa:
tunapatikana dar es salaam
usikose – fanya kazi nyingi kwa muda mfupi kwa kutumia mashine bora zaidi!