tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
  4. Mashine za Kutotoleshea Mayai
  5. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Temeke, siku 1 iliyopita
47 maoni

Mashine Ya Kutotoleshea Vifaranga ( Incubator)

+1
1
Kiangulio ya yai
Aina
Chapa Mpya
Hali
Black, Nyeupe
Rangi
10cm
Urefu
7cm
Upana
10cm
Urefu
Stima, Betri
Chanzo cha Nguvu
100
Uwezo wa yai
12V
Volteji
Yes
Udhamini
12month
Kipindi cha Udhamini
mashine ya kutotolesha vifaranga (incubator) tunauza mashine bora ya kutotolesha vifaranga kwa bei ya 210,000/= tsh tu! sifa za mashine: inabeba mayai 30 inatumia solar na umeme wa kawaida inajiendesha yenyewe (automatic) inatumia umeme mdogo sana (80 watts / 12v) inatunza joto hadi masaa 8 endapo umeme ukikatika ina mfumo wa kupima yai lenye mbegu uwezo wa kuangua hadi 98% inaangua mayai ya kuku, kanga na kware warranty ya mwaka 1 imara, salama na rahisi kutumia kwa mfugaji yeyote tunapatikana dar es salaam piga simu sasa: usikose fursa hii ya kuongeza uzalishaji wako kwa gharama nafuu!
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif