mashine ya kutotolesha vifaranga (incubator)
tunauza mashine bora ya kutotolesha vifaranga kwa bei ya 210,000/= tsh tu!
sifa za mashine:
inabeba mayai 30
inatumia solar na umeme wa kawaida
inajiendesha yenyewe (automatic)
inatumia umeme mdogo sana (80 watts / 12v)
inatunza joto hadi masaa 8 endapo umeme ukikatika
ina mfumo wa kupima yai lenye mbegu
uwezo wa kuangua hadi 98%
inaangua mayai ya kuku, kanga na kware
warranty ya mwaka 1
imara, salama na rahisi kutumia kwa mfugaji yeyote
tunapatikana dar es salaam
piga simu sasa:
usikose fursa hii ya kuongeza uzalishaji wako kwa gharama nafuu!