tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
  4. Mashine za Kukoboa
  5. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Temeke, siku 1 iliyopita
30 maoni

Mashine Ya Kupigia Mpunga

+1
Shellers & Threshers
Aina
Chapa Mpya
Hali
Orange
Rangi
1000kg
Uzito
Petroli, Diesel
Chanzo cha Nguvu
120V
Volteji
5000kW
Nguvu
5000kg/h
Uwezo wa Uzalishaji
Yes
Udhamini
12month
Kipindi cha Udhamini
Achana na kupiga mpunga kwa mikono! sasa wakulima wa mpunga na ngano kazi imekuwa rahisi zaidi kwa multi-crop thresher yenye nguvu na kasi kubwa! inapiga mpunga na ngano kwa usafi mkubwa uwezo wa hadi gunia 25 kwa saa injini imara 7.5hp petrol – nguvu ya kazi bila kusimama inatenganisha punje na makapi moja kwa moja inafaa kwa mkulima mmoja, vikundi na biashara ya kupukuchua mazao maliza kazi haraka, punguza gharama za vibarua na ongeza faida msimu huu! delivery nchi nzima bei ya kawaida tsh 2,300,000 tunapatikana dar es salaam piga simu / whatsapp071XXXXXXX
Mashine Ya Kupigia Mpunga
TSh 2,300,000
Inaweza kujadiliwa
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif