tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Temeke, siku 1 iliyopita
6 maoni

Mashine Ya Kupandia Mbegu ( Seeds Planter )

+1
Seeds planter
Aina
Chapa Mpya
Hali
Kijivu, Nyingine, Njano
Rangi
Yes
Udhamini
12month
Kipindi cha Udhamini
KILIMO BILA SHIDA! Mashine ya kisasa ya kitaili (wheel-rolling) ya kupandia mbegu SASA INAPATIKANA! Panda mahindi, karanga, maharage, kunde, njegere na nafaka nyingine kwa haraka na usahihi. Faida Kubwa: Inapanda hadi heka 10+ kwa siku Mbegu & mbolea kwa wakati mmoja Inaokoa muda na nguvu Rahisi kusukuma — inafaa kwa mkulima yeyote Bei: • Tsh 350,000 – inapanda mbegu • Tsh 450,000 – mbegu + mbolea Wasiliana nasi sasa: Weka comment au tuma ujumbe moja kwa moja tukuhudumie! #KilimoBiashara #mashineyakupandia #wakulima
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif