Incubator ya solar & umeme – hakuna kukwama tena!
je, unataka kuangua vifaranga kwa uhakika, hata umeme ukikatika?
suluhisho liko hapa!
tunauza mashine bora na ya kisasa ya kutotolesha vifaranga (incubator) kwa bei ya 350,000/= tsh tu
sifa za mashine:
inabeba mayai 60
inatumia solar na umeme wa kawaida
automatic – inajiendesha yenyewe
matumizi madogo ya umeme (80 watts / 12v)
hutunza joto hadi masaa 8 endapo umeme ukikatika
ina mfumo wa kupima yai lenye mbegu
ufanisi wa kuangua hadi 98%
inaangua mayai ya kuku, kanga na kware
warranty ya mwaka 1
imara, salama na rahisi kutumia
tunapatikana: dar es salaam
wasiliana nasi sasa:
usikose fursa hii!
ongeza uzalishaji wako wa vifaranga kwa uhakika na faida zaidi