tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Temeke, masaa 21 yaliyopita
3 maoni

Infrared Heat Lamps

+1
LAMP
Aina
Chapa Mpya
Hali
Nyekundu
Rangi
Yes
Udhamini
1month
Kipindi cha Udhamini
Uwasilishaji
Dar es Salaam • Temeke
1-2 mchana
TSh 5,000 - 10,000
UMUHIMU WA TAA ZA JOTO Ukuaji wa Afya na Joto Toshelevu: Taa za joto (hasa za infrared) hutoa joto la uhakika linalochukua nafasi ya joto la mama kuku, na kuhakikisha vifaranga hawaumwi au kufa kwa baridi. Kuchochea Ukuaji wa Haraka: Joto linalofaa husaidia vifaranga kutumia chakula vizuri kwa ukuaji badala ya kutumia nishati kupambana na baridi. Kupunguza Vifo: Kwa kutumia taa, vifaranga hawajikusanyi sehemu moja kutafuta joto, jambo linaloweza kusababisha vifaranga kukanyagana na kufa. Mazingira Safi na Salama: Taa za joto hazina moshi wala sumu kama inavyotokea wakati wa kutumia mkaa au kuni, jambo linalozuia magonjwa ya kupumua. Mwanga wa Kuchochea Kula: Taa hizi, hasa za rangi nyekundu, hutoa mwanga hafifu na wa joto unaowawezesha vifaranga kuona chakula na maji wakati wote, hivyo kula kwa wing TUNAUZA KWA BEI YA JUMLA REJEREJA
Infrared Heat Lamps
TSh 12,000
Inaweza kujadiliwa

TSh 10,000

≥ vipande 5
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif