Tunauza Incubator machine
Machine zetu za kutotolesha vifaranga zipo zinazotumia umeme wa TANESCO au umeme wa jua na zinazotumia umeme wa TANESCO tu.
Machine hizi ni full automatic yaani hugeuza mayai zenyewe.
Machine zetu zinafanya kazi kwa ufanisi mkubwa na ni imara sana.
Tupo Temeke Dar es salaam.
Kwa mawasiliano065XXXXXXX.
*mayai. Bei*
30. 300,000
60 560,000
40 360,000
128 880.000
264. 1,200.000
352 1.500.000
440. 1,800.000
528. 2.000.000
704 2.500.000
880 2.800.000
1056 3.200.000
1584 3.500.000
2112 4,500,000
3168 5,800,000
4224. 6,800,000
5280 7,200,000
Tupigie065XXXXXXX