Kwa wanyama wakati wa ujauzito na kunyonyesha, Kwa wanyama walio na unyeti wa chakula, Kwa wanyama wenye matatizo ya viungo
Mahitaji Maalum
Uwasilishaji
Dar es Salaam • Temeke
1-2 mchana
TSh 5,000 - 10,000
Hii ni dawa ya kuongeza madini (minerals) na elektrolaiti kwa kuku inayosaidia kuboresha afya na utendaji wa mifugo.
Muundo wake (kwa ujumla): Ina mchanganyiko wa madini muhimu kama:
Copper (shaba)
Cobalt
Sodium chloride (chumvi)
Potassium chloride
Manganese
Iron (ferrous)
Phosphorus compounds
Na maji safi (distilled water)
Matumizi yake (Indications):
Kuzuia na kutibu upungufu wa madini na vitamini
Kuboresha ukuaji wa kuku (growth rate)
Kuongeza uzalishaji wa mayai (productivity)
Kuboresha uimara wa maganda ya mayai
Kusaidia kuku wenye matatizo ya mifupa laini au rickets
Kuboresha afya ya jumla ya mifugo
Matumizi ya dawa (dosage):
Huwekwa kwenye maji ya kunywa ya kuku kwa muda wa siku kadhaa (kawaida siku 3–5)
Kiwango chake huwa karibu 1 ml kwa lita 1 ya maji (kulingana na maelekezo ya bidhaa)