Udereva wa magari ya abiria na mizigo, matengenezo madogo ya gari, usalama barabarani, mawasiliano bora na wateja
Lugha
Kiswahili na english
Vyeti
Nit certificate
Marejeo
Jina: joel tito bisoma
cheo: afisa wa usafiri, kampuni ya abc logistics
simu
mahali: dar es salaam
Mimi ni dereva mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka mitano 5 katika udereva wa magari ya mizigo na abiria. Nina ujuzi wa matengenezo madogo ya gari, usalama barabarani, na mawasiliano bora na wateja.