Piga simu kwa huduma ya haraka
.
Instagram - Msumari_shoppers
Open
• Jumatatu - Jumapili, 07:30-20:00
Ukiwa na hii lapto inakufaa ,
itakusaidia vitu vifuatavyo
- speed kutokana na 16RAM
- Performance kutokana na 256GB SSD
PROCESSOR YA 2.5ghz
utapata laptop na Tablet kwenye device moja maana ni touchscreen na pia inajikucha x360 unaitumia kama tablet kwa uwezo uleule