Faida zake
*inakufanya inakufanya kuwa na mngoo mzuri mweupe
* Husaidia kusafisha ngozi na kuondoa uchafu.
* Hufanya ngozi ionekane yenye mwangaza na yenye afya.
* Husaidia kulainisha ngozi.
* Inaweza kusaidia kupunguza mwonekano wa madoa meusi kwa baadhi ya watu, hasa ikiwa imechanganywa na viambato kama kojic acid au vitamin C.