Eneo linalokua kwa kasi, linafaa kwa makazi au uwekezaji wa nyumba za kupangisha. Umeme na maji vinapatikana. Kiwanja kikubwa chenye nafasi ya maendeleo zaidi ya baadaye. Umbali kutoka Tanga Mjini ni 7km. Apartement zipo nne ambazo kila moja zinapangishwa kwa TZS 400,000/=.