Location: Kange Mbugani, karibu kabisa na mwisho wa Daladala za route ya Mbugani.
Ukubwa: 599 SQM
Hali ya umiliki: Kimepimwa na kina Hati ya Wizara ya Ardhi.
Kina msingi tayari – unaweza kuendelea na ujenzi mara moja.
Kipo kwenye kona ya barabara, hivyo kina access nzuri na kinafaa sana kwa kujenga nyumba au biashara.
BEI: TSH
Mauzo ya moja kwa moja kutoka kwa mwenye kiwanja – HAKUNA DALALI.
Mwenye nia ya kweli awasiliane nami kwa maelezo zaidi na kuja kukiona