Nyumba nzuri inauzwa
maeneo ya tandika,mtaa wa koma
nyumba yenye vyumba 11
vyoo ni 4 vyote ni vya nje
ina fence
imezungukwa na huduma zote za kijamii,
na iko karibu na rami husumbuki
hio nyumba kubwa vyumba vyake havijakamilika na ina vyumba 6 bado finishing tu ila watu wanakaa.
na hii nyengine tayari imekamilika ina vyumba 5 vyote vimekamilika na kupigwa rangi kabisa.
ukubwa wa eneo ni square meter 700
nyumba ina hati mmiliki
mwenywe ameanzia million 220 maongezi yapo usiogope
namaliza mimi mwenywe niko na mmiliki simu moja tu