WANAWAKE WA DAR... BY ZUBAGY AKILIMIA.
Mwanaume kutoka mwanza aitwaye majeshi, anamuhudumia mpenziwe aishiye dar es salaam, kila kitu alichotaka alimpatia kasoro roho yake. Hakujua kama mpenz wake anayemthamini nakumuhudumia vizuri anamchepuko wake (serengeti wake) . ...
Siku zote matha amekuwa ni mwanamke mwenye shida ya pesa, na matatizo kwake hayaishi... leo pesa ya pango, kesho pesa ya nguo, kesho kutwa pesa ya matumizi, mtondogoo anaumwa! Akipona hudai ana harusi anahitaji pesa za gauni na mchango, ikiisha harusi ana msiba, ...
Hayo ndo maisha yake yakuomba pesa, lakini anapopewa basi, humpatia mpenz wake mwingine. ...
Hardcopy 5,000
F2A BOOKSHOP "we move together "