Ni ngumu kupewa chaguo na ukachagua kwenda Gerezani au kaburini. Watu watachukuliaje chaguo lako? Bila shaka utaonekana sivyo ndivyo lakini, wapo watu waliamua kuchagua kuishia kaburini au Gerezani na walikuwa tayari kwa hilo ... unajua kwanini? Kwa sababu waliamini kama wataishia kaburini au gerezani basi huo ndio ungelikuwa mwisho wa ufikiri wa akili kwa akili zao na hawakuwa tayari kwa hilo japo ndo chaguo Lao la mwisho. Naam, ni wale jamaa wasio na kazi mjini, wanalelewa na wake zao na hawana heshima kwenye jamii zao. Heshima ni nini?...
Hardcopy 7,000
F2A BOOKSHOP "we move together"