FISI MDOKOZI Na hadithi nyingine
Fisi na chui walikuwa marafiki wanaopendana sana. Walijenga nyumba kati kati ya msitu mkubwa. Waliishi pamoja ndani ya nyumba hiyo lakini Fisi alikuwa mvivu. Mara nyingi Alimwachia chui kazi ya kwenda kutafuta chakula. Alipokuwa akileta chakula hicho...
Contact
Tunasafirisha ndani na nje ya mipaka ya Tanzania
F2A BOOKSHOP
Tunapatikana TABORA MJINI STEND NDOGO na nzega mjini mtaa wa ntinginya ndani ya jengo la kilimanjaro
"we move together"