PATA UJUZI WAKUANDAA VYAKULA VYA MIFUGO MBALI MBALI.
*Jifunze kuandaa chakula cha kuku wa aina zote (wa kienyeji, wa nyama, na wa mayai)
*Jifunze kurutubisha bwawa la samaki na kuandaa vyakula vya samaki
*Jifunze kuandaa vyakula vya Ng'ombe wa maziwa na wale wa nyama na kunenepesha ng'ombe kwa ajili ya Biashara.