Nyumba inapangishwa tabata kimanga maji chumvi road... ina vyumba vitatu vya kulala,sitting room,dining,kitchen,public toilet.nyumba ina nafasi kubwa ipo sehem nzuri inatazama barabara kubwa ya mtaa... kodi anachukua kuanzia miez sita... na ukiipenda wakati unalipa unalipa garama ya mwezi mmoja kwa Agent utakayo lipa kwa Owner... garama ya kwenda kuangaria service charge