Fremu za biashara zinapangishwa katika jengo la kisasa lililopo Sinza, Dar es Salaam. Eneo hili lina muonekano mzuri na linapita watu wengi kila siku, hivyo ni sehemu sahihi kwa biashara inayohitaji wateja wengi.
Jengo lina:
°Muonekano wa kisasa (glass frontage)
°Barabara kuu yenye mzunguko mkubwa wa watu na magari
°Mazingira safi na salama
°Nafasi za juu (balcony view) na chini
Inafaa kwa biashara kama:
°Maduka ya nguo (boutique)
°Salon & beauty
°Ofisi
°Electronics & accessories
Bei zinaanzia TSH 600,000
kulingana na ukubwa wa fremu na sehemu ilipo.
Kwa mawasiliano:
Location: Sinza kwa Remmy, Dar es Salaam