tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Mali ya Biashara Kwa Kukodisha
  4. Kituo cha Kukodisha
Dar es Salaam, Kinondoni, Sinza, 21/05
20 maoni

Frem for Rent

+1
Maduka
Aina ya mali
Kwa Remmy
Anwani
Bila samani
Samani
Imejengwa Mpya
Hali
2228sqm
Mita za mraba
5
Nafasi za Maegesho
30000
Ada ya malipo ya huduma
Fremu za biashara zinapangishwa katika jengo la kisasa lililopo Sinza, Dar es Salaam. Eneo hili lina muonekano mzuri na linapita watu wengi kila siku, hivyo ni sehemu sahihi kwa biashara inayohitaji wateja wengi. Jengo lina: °Muonekano wa kisasa (glass frontage) °Barabara kuu yenye mzunguko mkubwa wa watu na magari °Mazingira safi na salama °Nafasi za juu (balcony view) na chini Inafaa kwa biashara kama: °Maduka ya nguo (boutique) °Salon & beauty °Ofisi °Electronics & accessories Bei zinaanzia TSH 600,000 kulingana na ukubwa wa fremu na sehemu ilipo. Kwa mawasiliano: Location: Sinza kwa Remmy, Dar es Salaam
Frem for RentFrem for RentFrem for RentFrem for RentFrem for RentFrem for RentFrem for RentFrem for RentFrem for RentFrem for RentFrem for Rent
TSh 600,000
Bei isiyobadilika
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif